![]() |
| Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma Cresensia Makulu akitoa hutuba ya mahakama wakati wa kilele cha siku ya Sheria kilichofanyika katika viwanja vya Mahakama mjini humo. |
![]() |
| Kwaya ya wafanyakazi wa mahakama kuu kanda ya Dodoma wakitoa Budaruni ya nyimbo kwa wananchi na viongozi mbalimbali walihudhuria kilele cha maadhimisho ya siku ya Sheria |
![]() |
| Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Farida Mgomi, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho hayo |
![]() |
| Mawakili wa kujitegemea kwenye maadhimisho hayo |
![]() |
| Mazungumzo Meza kuu |
![]() |
| Wananchi waliohudhuria |
![]() |
| picha ya pamoja kati ya majaji na wanafunzi wa sheria chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) |
![]() |
| Wanasheria wa Serikali wakiondoka katika viwanja Vya maadhimisho hayo |
![]() |
| Wakitoka |
Tags
HABARI KITAIFA














