BANDA MEDIA BLOG

MWILI WA MKAZI WA NZUGUNI 'A' WAKUTWA UKIELEA KWENYE MAJI UKI UMEKUFA BAADA YA KUPOTEA NYUMBANI SIKU 3


Askari wa Kikosi cha uokoaji wakiwa wameubeba mwili wa marehemu Mkunwa Makanyaga uliokutwa ukielea kwenye kisima cha maji katika mtaa wa nzuguni 'A'.
Wananchi hao wakiuangalia mwili huo kabla ya kuopolewa kwenye maji
 Wakazi wa Nzuguni wakiwa  wamekizunguka Kisima cha maji ambacho  kilichopo pembeni mwa nyumba ambapo mtu mmoja alikutwa amekufa maji.
 Mama Mzazi wa marehemu akisaidiwa kutokana na uchungu wa kumpoteza mwanae. IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG
Mkazi wa kijiji cha Nzuguni A, Manispaa ya Dodoma akichota maji katika kisima kilichopo jirani na nyumba, kisima hicho hajawekewa tahadhari yoyote hali ambayo ni hatari kwa watoto wanaoishi katika mtaa huo hasa katika kipindi hiki ambacho mvua zina nyesha kwa wingi



 
Moja ya visima 14 vilivyopo katika mtaa wa Nzuguni 'A' Manispaa ya Dodoma ambapo mwili wa marehemu Mkunwa Makunganya ulikutwa ukielea siku tatu baada ya kupotea nyumbani.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG