Afisa kazi mkoa wa Dodoma Jacob Mwinula
akifafanua jambo wakati alipokuwa akizungumza na wafanyakazi wa kampuni
ya Kichina inayojenga majengo mbalimbali ya serikali ya CRJE baada ya
wafanyakazi hao kugoma kufanyaka wakidai mikataba na kulekebishiwa
mishahara yao.
no 2 Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya CRJE wakiwa nje ya majengo wanayoyajenga baada ya kugoma ufanya kazi wakidai stahiki zao. IMEANDALIWA NA BANDA BLOG
No 5 Afsa kazi wa Manispaa ya Dodoma Jacob Mwinula akiongea na wafanyakazi hao wakati nyuma yake wamiliki wa kampuni hiyo wakiteta jambo.

Baadhi ya wachina wakiwa
juu ya moja ya majengo yanayojengwa mjini Dodoma wakiwaangalia
wafanyakazi wakitanzania wanavyolalama kudai stahiki zao ikiwemo
mikataba ambayo wamekuwa wakidai zaidi ya miaka 10 sasa.
Baadhi ya majengo yanayojengwa na kampuni hiyo ya kichina ya CRJE ambao waligoma wakidai kupewa stahiki zao

no 2 Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya CRJE wakiwa nje ya majengo wanayoyajenga baada ya kugoma ufanya kazi wakidai stahiki zao. IMEANDALIWA NA BANDA BLOG
No 5 Afsa kazi wa Manispaa ya Dodoma Jacob Mwinula akiongea na wafanyakazi hao wakati nyuma yake wamiliki wa kampuni hiyo wakiteta jambo.

Baadhi ya majengo yanayojengwa na kampuni hiyo ya kichina ya CRJE ambao waligoma wakidai kupewa stahiki zao

Tags
HABARI KITAIFA









