Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Eng.Edwin Ngonyani (katikati) akielekezwa jambo na
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Bw.Magid Hemed alipofanya ziara yake ya
kutembelea Wilaya hiyo kwa kuangalia mradi wa ujenzi wa daraja la Ruvu
chini na bandari ya Bagamoyo.
Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Eng.Edwin Ngonyani (katikati) akionyeshwa ramani
itakapojengwa bandari ya Bagamoyo kutoka kwa Msimamizi wa Mradi wa
Upanuzi wa Bandari hiyo kutoka Mamlaka ya Bandari nchini Bw.
Alexender Ndibalema (Kushoto) katika ziara yake ya kutembelea
Wilaya ya Bagamoyo .
Eneo ya Chuo cha Uvuvi cha Mbegani Wilayani Bagamoyo ambayo ipo katika mpango wa kubadilishwa na kuwa Bandari ya Bagamoyo .
Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Eng.Edwin Ngonyani (kulia) akisalimiana na Mafundi
wa kampuni ya Ujenzi ya ESTIM inayojenga daraja la Ruvu chini katika
barabara ya Bagamoyo kwenda Msata katika ziara yake ya kutembelea
Wilaya ya Bagamoyo .
Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Eng.Edwin Ngonyani (kulia) akielekeza jambo wakati
alipotembelea ujenzi wa daraja la Ruvu chini katika barabara ya
Bagamoyo kwenda Msata , wanaongalia ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe.
Magid Hemed (katikati) na Kushoto ni Mbunge wa Bagamoyo Mhe. Shukuru
kawambwa
Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Eng.Edwin Ngonyani (kushoto) akimsikiliza Mhandisi
wa mradi wa ujenzi wa daraja la Ruvu chini Bw. Adam Makiba(Kulia)
wakati wa ziara ya kutembelea Wilaya ya bagamoyo pamoja na miradi ya
ujenzi wa Bandari na daraja .
Ujenzi wa daraja la Ruvu chini unavyoonekana katika picha ambapo unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa mwaka huu.
Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi
na Mawasiliano Mhe. Eng.Edwin Ngonyani (kushoto) akipata maelezo kuhusu
ukarabati wa barabara ya Msata kutoka kwa Mhandisi wa mradi wa
ujenzi huo Bw. Adam Makiba wakati wa ziara ya kutembelea Wilaya ya
bagamoyo pamoja na miradi ya ujenzi wa Bandari na daraja la Ruvu chini .
Tags
HABARI KITAIFA