Mbunge wa jimbo la Moshi
mjini,Jafary Michael akisalimiana na wafanyabiashara wa soko la Pasua
alipofanya ziara ya kutembelea masoko yaliyopo katika mji wa Moshi
kusikiliza kero za wafanyabiashara hao.
Mbunge wa jimbo la Moshi
mjini,Jafary Michael akiongozana na Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi
,Raymond Mboya wakitembelea soko la Mbuyuni kusikiliza kero mbalimbali
pamoja na kuona namna bra ya kuboresha masoko hayo.
Mbunge wa jimbo la Moshi
mjini,Jafary Michael akiongozana na Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi
,Raymond Mboya wakitembelea soko la Mbuyuni kusikiliza kero mbalimbali
pamoja na kuona namna bra ya kuboresha masoko hayo.
Mbunge wa jimbo la Moshi
mjini,Jafary Michael akiongozana na Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi
,Raymond Mboya wakitembelea soko la Mbuyuni kusikiliza kero mbalimbali
pamoja na kuona namna bra ya kuboresha masoko hayo.
Mbunge wa jimbo la Moshi
mjini,Jafary Michael akiongozana na Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi
,Raymond Mboya wakitembelea soko la Majengo kusikiliza kero mbalimbali
pamoja na kuona namna bra ya kuboresha masoko hayo.
Tags
BIASHARA