HomeBunge Wabunge wa Kambi ya Upinzani Watoka nje ya BUNGENI Wakiwa Wamevalia Mavazi Meusi na Mabango byJohn Banda -Thursday, June 30, 2016 0 BUNGENI: Wabunge wa Kambi ya Upinzani watoka nje leo wakiwa wamevalia mavazi meusi na mabango. Wanaendeleza mgomo wao dhidi ya Naibu Spika jinsi anavyoendesha Bunge, wadai anakiuna kanuni za uendeshaji Bunge. Tags Bunge Facebook Twitter