| Mkuu wa Wilaya ya Bahi Elizabeth Kitundu akiapa mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana |
| Mkuu mpya wa Wilaya ya Chamwino Vumilia Nyamoga akiapa mbele ya mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana, ambapo hata hivyo ni wakuu wa wilaya 6 pekee ndiyo waliyoapa bila kuihusisha wilaya ya Kongwa |
| Mkuu wa Wilaya ya Chemba Simon Odunga akiapa kwa Kushika Bablia Mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Lugimbana |
| Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugembana akimkabidhi vitendea kazi ikiwemo katiba Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Sezaria Makota mara baada ya Kumuapisha |
| Mkuu wa Wilaya ya Kondoa akiapa |
| Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Jabir Shekimweri akiapa kwa kushika koraan Tukufu mbele ya mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana |
| Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Wilaya za Bahi, Kondoa, Chamwino, Mpwapwa , Chemba na Dodoma mjini wakiwa pamoja na Ndugu zao |
| Ndugu Mbalimbali wa Wakuu wa Wilaya za mkoa wa Dodoma wakiwa katika ukumbi wakishuhudia kuapishwa kwao |
| Picha ya pamoja ya mkuu wa mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana, Wakuu wapya wa Wilaya na Wakuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa mkoa huo |
| Picha ya pamoja ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana, Wakuu wapya wa Wilaya na wakurugenzi wa halmashauri za wilaya za mkoa huo |
| Balozi Lusinde na Panglsi Ndejembi mwenye miwani aliyewahi kuwa mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM wakiteta jambo muda mfupi kabla ya wakuu wapya wa wilaya za Mkoa wa Dodoma kuapishwa |
Tags
HABARI KITAIFA