| Mwenyekiti
wa Bodi ya CDA Jenista Mhagama akizungumza jambo mbele ya kamati ya
kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali ambapo watendaji wa Mamlaka hiyo
waliitwa kuhojiwa IMETENGEZWA NA BANDA BLOG |
| MAHOJIANO YAKIENDELEA |
| Wajumbe wa kamati hiyo wakisoma vitabu vya Taarifa za CDA |
| Watumishi wa CDA wakiwa katika ukumbi wa Hazina kwa ajili ya Kuhojiwa |
Tags
HABARI KITAIFA