| Wabunge waliyopo katika kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakiingia kukagua ujenzi wa uwanja wa ndege wa Dodoma ulipofikia sasa |
| Katibu mkuu wa Wizara ya Ujenzi Dkt, Leonard Chamriho akimkabidhi Taarifa ya Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Dodoma jinsi unavyoendelea Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Professa Norman Sigala IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG |
| Katibu mkuu wa Wizara ya Ujenzi Dkt, Leonard Chamriho akiongea jambo wakati alipokuiwa akisoma Taarifa ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Dodoma mbele ya wabunge wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu waliofika kutaka kujua maendeleo ya ujenzi huo |
| Watendaji wa Wizara na wa kampuni ya ujenzi ya Chico |
| Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Dodoma akielekeza jambo kwa wabunge hao |
| Ndege zikiwa katika uwanja huo uliyopo katika hatua za mwisho za ujenzi |
Tags
HABARI KITAIFA