BANDA MEDIA BLOG

Mkuu wa Raslimali watu wa SABMiller kanda ya Afrika afanya ziara nchini

sab1
Lucia Swartz akiongea na wafanyakazi
sab2
Wafanyakazi wakifuatilia majadiliano wakati akizungumza nao.
sab3
Mfanyakazi wa TBL Group akiuliza swali

sab5
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa  katika picha ya pamoja na Lucia Swartz
…………………………………………………………………………………..
Akutana na wafanyakazi wa TBL Group
Mkurugenzi wa kitengo cha Raslimali watu wa kampuni ya SABMiller kanda ya Afrika,Lucia Swartz, yuko nchini kwa ziara ya kikazi ambapo  amekutana na wafanyakazi wa kampuni ya TBL Group ambayo ni kampuni tanzu ya kampuni hiyo.
Lucia Swartz amekutana na wafanyakazi katika hoteli ya Holiday Inn iliyopo jijini Dar es Salaam ambapo pia alipata fursa ya kufahamiana nao na kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali ya kuboresha ustawi wa wafanyakazi ambapo pia walipata fursa ya kuuliza masuala mbalimbali yanayohusiana na utawala na utendaji wa kazi za kila siku.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG