Kaimu Mnikulu ambaye pia ni Naibu
Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akimkabidhi funguo na nyaraka Bw. Thomas
Kone (35) kwa ajili ya Bajaji mpya ambayo amezawadiwa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli baada ya
kumuona katika TBC1 akiwa anatafuta msaada wa usafiri ili aweze kujikimu
kimaisha na familia yake ya mke na watoto wawili. Rais aliguswa na
kijana huyu na kuamua kumsaidia kwani pamoja na ulemavu wake ameendelea
kuchapa kazi bila wasiwasi. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika
la Utangazaji TAnzania (TBC) Dkt Ayoub Rioba ambaye mwanahabari wake
Mbozi Katala ndiye aliyemtangaza bwana Kone
Kaimu Mnikulu ambaye pia ni Naibu
Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akimwangalia Bw. Thomas Kone (35)
akipanda Bajaji yake mpya ambayo amezawadiwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye alimuona kwneye
kipindi cha TV katika TBC1 akiwa anatafuta msaada wa usafiri ili aweze
kujikimu kimaisha na familia yake ya mke na watoto wawili. Rais
aliguswa na kijana huyu na kuamua kumsaidia kwani pamoja na ulemavu wake
ameendelea kuchapa kazi bila wasiwasi. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu
wa Shirika la Utangazaji TAnzania (TBC) Dkt Ayoub Rioba ambaye
mwanahabari wake Mbozi Katala ndiye aliyemtangaza bwana Kone
Kaimu Mnikulu ambaye pia ni Naibu
Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akimwangalia Bw. Thomas Kone (35)
akiujaribu Bajaji yake mpya ambayo amezawadiwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye alimuona kwneye
kipindi cha TV katika TBC1 akiwa anatafuta msaada wa usafiri ili aweze
kujikimu kimaisha na familia yake ya mke na watoto wawili. Rais
aliguswa na kijana huyu na kuamua kumsaidia kwani pamoja na ulemavu wake
ameendelea kuchapa kazi bila wasiwasi. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu
wa Shirika la Utangazaji TAnzania (TBC) Dkt Ayoub Rioba ambaye
mwanahabari wake Mbozi Katala ndiye aliyemtangaza bwana Kone
Kaimu Mnikulu ambaye pia ni Naibu
Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akitoa salamu za Rais kwa Bw. Thomas
Kone (35) kuhusiana na Bajaji mpya ambayo amezawadiwa na Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye alimuona kwneye
kipindi cha TV katika TBC1 akiwa anatafuta msaada wa usafiri ili
aweze kujikimu kimaisha na familia yake ya mke na watoto wawili. Rais
aliguswa na kijana huyu na kuamua kumsaidia kwani pamoja na ulemavu wake
ameendelea kuchapa kazi bila wasiwasi. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu
wa Shirika la Utangazaji TAnzania (TBC) Dkt Ayoub Rioba ambaye
mwanahabari wake Mbozi Katala ndiye aliyemtangaza bwana Kone
Kaimu Mnikulu ambaye pia ni Naibu
Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akimpongeza mwnahabari Mbozi Katala
alieandika na kutumia picha za Bw. Thomas Kone (35) na kuopelekea
kupata Bajaji y mpya ambayo amezawadiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye alimuona kwneye kipindi cha
TV katika TBC1 akiwa anatafuta msaada wa usafiri ili aweze kujikimu
kimaisha na familia yake ya mke na watoto wawili. Rais aliguswa na
kijana huyu na kuamua kumsaidia kwani pamoja na ulemavu wake ameendelea
kuchapa kazi bila wasiwasi. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika
la Utangazaji TAnzania (TBC) Dkt Ayoub Rioba na wafanyakazi wa TBC ambao
mwanahabari wao Mbozi Katala ndiye aliyemtangaza bwana Kone
Kaimu Mnikulu ambaye pia ni Naibu
Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akiakiagana na Bw. Thomas Kone (35)
baada ya kumkabidhi Bajaji yake mpya ambayo amezawadiwa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye alimuona
kwneye kipindi cha TV katika TBC1 akiwa anatafuta msaada wa usafiri
ili aweze kujikimu kimaisha na familia yake ya mke na watoto wawili.
Rais aliguswa na kijana huyu na kuamua kumsaidia kwani pamoja na ulemavu
wake ameendelea kuchapa kazi bila wasiwasi. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Utangazaji TAnzania (TBC) Dkt Ayoub Rioba na
wafanyakazi wa TBC ambao mwanahabari wao Mbozi Katala ndiye
aliyemtangaza bwana Kone
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
Utangazaji TAnzania (TBC) Dkt Ayoub Rioba akiakiagana na Bw. Thomas
Kone (35) baada ya kumkabidhi Bajaji yake mpya ambayo amezawadiwa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ambaye
alimuona kwneye kipindi cha TV katika TBC1 akiwa anatafuta msaada wa
usafiri ili aweze kujikimu kimaisha na familia yake ya mke na watoto
wawili. Rais aliguswa na kijana huyu na kuamua kumsaidia kwani pamoja na
ulemavu wake ameendelea kuchapa kazi bila wasiwasi. kushoto ni Kaimu
Mnikulu ambaye pia ni Naibu Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike
Tags
MSAADA