Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt.
Augustine Mrema akisisitiza jambo kwa wananchi wa Mtaa wa Pakacha kata
ya Tandale Uwanja wa Fisi wakati alipokwenda kusikiliza kero mbalimbali
zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama.
Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt.
Augustine Mrema akisisitiza jambo kwa wananchi wa Mtaa wa Pakacha kata
ya Tandale Uwanja wa Fisi wakati alipokwenda kusikiliza kero mbalimbali
zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama katikati ni mjumbe wa Bodi
hiyo Bi. Teddy Killa na mwisho kulia ni mjumbe wa Bodi hiyo Bw. Ben
Mwalutende.
Wananchi wa Mtaa wa Pakacha kata
ya Tandale Uwanja wa Fisi wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Bodi ya
Parole Dkt. Augustine Mrema (hayupo pichani) wakati alipokwenda
kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama.
Mjumbe wa Bodi ya Parole
akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Pakacha kata ya Tandale Uwanja wa
Fisi wakati Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Augustine Mrema alipokwenda
kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama,
kulia ni mjumbe wa Bodi hiyo Bw. Ben Mwalutende.
Msoma Risala kwa niaba ya wakazi
wa Mtaa wa Pakacha kata ya Tandale Uwanja wa Fisi wakati Mwenyekiti wa
Bodi hiyo Dkt. Augustine Mrema alipokwenda kusikiliza kero mbalimbali
zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama.
Mmoja ya wakazi wa Mtaa wa Pakacha
kata ya Tandale Uwanja wa Fisi ambaye jina lake halikupatikana
akimueleza Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt. Augustine Mrema kero
mbalimbali zinazowakabili hasa akina mama wakati Mwenyekiti huyo
alipowatembelea mapema hii leo.
Picha zote na Eliphace Marwa – Maelezo.
Tags
HABARI KITAIFA