Kaimu Mkurugenzi Idara ya
Mazingira katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Richard Muyungi akifungua
kikao cha Wadau kujadili dhamira ya Serikali kupiga marufuku uzalishaji
na usambaji wa mifuko ya plastiki Nchini. Kilichoandaliwa na Idara ya
Mazingira -Ofisi ya Makamu wa Rais. Aliyekaa kulia ni Mkuirugenzi
Msaidizi Bi. Magdalena Mtenga
Sehemu ya Wadau waliohudhuria
kikao cha kujadili dhamira ya Serikali kupiga marufuku uzalishaji na
usambaji wa mifuko ya plastiki Nchini. Kikao hiko kimeandaliwa na Idara
ya Mazingira – Ofisi ya Makamu wa Rais.
Mmoja wa Wadau waliohudhuria kikao
hiko Bwana Joseph Wasonga kutoka kampuni ya Wande Packaging akitoa
maoni yake wakati wa kikao hiko cha Wadau kujadili dhamira ya Serikali
kupiga marufuku uzalishaji na usambaji wa mifuko ya plastic Nchini.
Mwanasheria wa Ofisi ya Makamu wa
Rais Bwana Isaqwisa Mwamkonda, akitoa mada kwa Wadau waliohudhuria
kikao hiko cha Wadau kujadili dhamira ya Serikali kupiga marufuku
uzalishaji na usambaji wa mifuko ya plastiki Nchini .
Tags
BIASHARA HARAMU