BANDA MEDIA BLOG

PEMBA SPORTS AFRICA YAWABEBA KABULA, BABY MADAHA, BELA FASTA


IMG-20160818-WA0005
Kundi la muziki wa Bongo linaloundwa na wadada wakali watatu likijulikana kama ‘The Scorpions ‘ limealikwa kutpiga show kesho kwenye Uganda  Entertainments Awards.
IMG-20160818-WA0002
Wadada wanaounda kundi la The Scorpions ni pamoja na Baby Madaha, Kabula na Bela Fasta. Manager anayesimamia kundi hilo ni Mama Lolla.

IMG-20160818-WA0003
Kundi la The Scorpion limedhamiria kufanya kweli kitaifa na kimataifa kuhakikisha muziki wa Bongo unavuka mipaka ya Tanzania na kwenda mbali zaidi huku wao wakilenga kupata mafanikio makubwa kama kundi.
IMG-20160818-WA0004
Pemba Sports Africa imeamua kuwa-promote wadada hao ili nao watoke na waendelee kimataifa. Kuna mipango na mikakati mikubwa kuhakikisha The Scorpions inasonga mbele na kuikia ndoto zake ikiwa chini ya Pembe Sports Africa.
IMG-20160818-WA0000

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG