| Mbunge wa jimbo la Nkenge Kagera Dkt, Diodorus Kamala akifafanua jambo wakati alipokuwa akitoa ushauri kwa watendaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira walioambatana na Wazri wao January Makamba kwa ajili ya kuhijiwa na kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG |