![]() |
| Kaimu Shekh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ahamed Said akiteta jambo na Mkurugenzi wa Bakwata wa mkoa huo Hamis Balawa mara baada ya ibada ya Eid el hadj iliyofanyika katika Msikiti wa Ghadafi mjini Humo |
![]() | ||||||||
| Nje ya Msikiti wa Ghadafi Mtoto akipiga miayo mbele ya mwenzake mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Eid el hadj IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG |
![]() | ||
Wakina mama wakijiandaa kuondoka baada ya Ibada hiyo
|
Tags
HABARI ZA DINI






