![]() |
| Mwanafunzi apata tuzo ya heshima, jina lake labandikwa shuleni Martin Luther Dodoma |
| Wasichana walihitimu Darasa la saba katika shule ya Martin Luther iliyopo mjini Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja |
![]() |
| Wadau wa Blog hii wakiwa katika picha ya pamoja na mtoto wao aliyehitimu Darasa la 7 katika shule ya Martin Luther mjini Dodoma IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG |
| Wazazi wa mhitimu wa Darasa la saba wakiwa katika Pozi la picha na mtoto wao |
![]() |
| Wanafunzi wawili wa kike na kiume waliofanya vizuri kwenye nidhamu wakiwa na wazazi wao siku ya mahafali shule ya Martin Luther mjini Dodoma. |
| Mzazi akiwa na uso wa furaha na mtoto wake siku ya mahafali katika shule ya Martin Luther mjini Dodoma. |
| Wanafamilia wakiwa katika picha ya pamoja na muhitimu siku ya mahafali ya darasa la saba katika shule ya Martin Luther mjini Dodoma. |
| Ni kama wanasema, 'hongera mwanetu' |
| Muhitimu akiwa kashika zawadi mbalimbali alizopewa na wazazi wake siku ya mahafali. |
| Mkurugenzi wa shule ya martin Luther (mwenye tai nyekundu aliekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na walimu na wahitimu wa darsa la saba septemba 2016, shuleni hapo. |
![]() |
| Mwanafunzi akiinua juu cheti kwa furaha ya kuhitimu darasa la saba mbele ya uongozi wa shule ya Martin Luther mjini Dodoma. |
Tags
ELIMU



