BANDA MEDIA BLOG

SIKU YA AMANI DUNIANI YAFANA KITAIFA MJINI DODOMA, RUSHWA YAELEZWA KUWA NI KIKWAZO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana, viongozi wa kiserikali, wawakilishi wa umoja wa mataifa na wakuu Didini wakipokea kitambaa kilichotengenezwa kama njia ikiwa ni ishara ya Amani, wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya amani Duniani iliyofanyika kitaifa mkoani humo

Vijana wakimpeperusha njiwa wa amani

Washiriki wa Mdahalo kuhusu Amani uliofanyika mjini Dodoma Kitaifa wakiimba wimbo wa taifa

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana akifungua mdahalo huo uliohudhuliwa na watu zaidi ya 500 wakiwemo wanavyuo  IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG


washiriki walivyofurika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere wakati mdahalo huo ukiendelea

Mratibu wa kitengo cha utawara bora  UNDP Godfrey Mulisa akitoa hutuba ukumbini hapo


Picha ya pamoja wakiwa na Mabango yenye jumbe mbalimbali zinazohamasisha Amani Duniani



Jaji wa Mhakama Kuu Divisheni ya Ardhi Sophia Wambura akitoa mada kwa washiriki wa mdahalo huo

Mbunge wa Jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa akifafanua jambo wakati alipokuwa akitoa mada ya namna rashwa inavyoweza kusababisha uvunjifu wa ambani


Naibu Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa [Takukuru] Mkoani Dodoma Cosmas Batanyita akielezea namna taasisi yake inavyopambana na Ruswa

Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Dini Mbalimbali la Amani Tanzania [ IRCPT] Rev Canon Thomas Godda akieleza jambo

Mtafsili wa Lugha ya alama akiwatafria washiriki wasiyosikia mada zinazoendelea

Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Omary Gumbo akizungumza wakati wa mdahalo huo

Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini Anthon Mavunde katika mdahalo huo

wanafunzi wakiwa na herufi za zenye ujumbe wa amani Dodoma

Ofisa habari wa kituo cha habari cha umoja wa mataifa [UN] Stella Vuzo akihitimisha mdahalo huo kwa kutoa shukrani kwa washiriki


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG