| Watoto hao wakipata chakula hicho siku ya kumbukumbu ya kifo cha hayati Baba wa Taifa aliyefariki miaka 17 iliyopita |
| Mmoja wa Masista wa nyumba hiyo ya Matumaini akimlisha mmoja wa watoto wa chini ya miaka 2 wanaolelewa katika kituo hicho |
| Maofisa wa NMB Tawi la Mazengo wakitoa zawadi ya mfuko wa sabuni kwa Sista Mkuu wa Nyumba ya matumaini inayolea watoto wanaoishi katika mazingira magumu IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG |
| Mmoja wa watoto hao akipokea Godoro |
| Picha ya pamoja |
| Watoto hao wakiangalia baadhi ya zawadi walizokabidhiwa |
| Meneja wa Tawa la NMB Mazengo Pamala Mahali akimpa mkono mmoja wa watoto wanaolelewa na kituo cha Nyumba ya Matumaini mapema wakati akiingia kituoni hapo |
| Watoto wakitumbuiza kwa nyimbo na Ngoma baada ya kupokea misaada hiyo |
Tags
MSAADA