| Wakinamama wanasalamu toka Gairo mkoani Morogoro wakiwa katika mkutanao huo wa Umoja wa wanasalamu Mkoa wa Dodoma uliofanyika mji mdogo wa kibaigwa wilayani kongwa mkoani humo |
![]() |
| Mmoja wa viongozi wa UWASADO akizungumza jambo wakatia alipokuwa akisoma malengo ya ziara hiyo mbele ya wanasalamu wilayani humo |
| Wanasalamu wa wilaya za Kongwa na Gairo wakiwa katika mkutano ulioitishwa na viongozi wa UWASADO kwa ajili ya kuimalisha umoja huo, uliofanyika kibaigwa [PICHA ZOTE NA JOHN BANDA] |
![]() |
| waliokaa mbele ni Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa UWASADO Wilaya ya Kongwa waliochaguliwa baada ya viongozi wa umoja huo Mkoa wa Dodoma kufika kufanya ziara ya kuuimarisha |
| Baadhi ya wanasalamu Hao wakiwa katika pozi la picha |
| Picha ya Pamoja |
Tags
KIBURUDANI

