Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge
ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) Mhe. Albert Obama (Mb) akizungumza
wakati Kamati yake ilipokwenda kukagua mradi wa Ujenzi wa Nyumba katika
eneo la Kawe na Morroco Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba
NHC Bw. Nehemia Mchechu akiwaelezea Wajumbe wa Kamati ya PIC kuhusu
mradi wa ujenzi wa Nyumba katika eneo la Kawe.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge
ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) Mhe. Albert Obama (Mb) akielezea
jambo wakati Kamati yake ikikagua ujenzi wa nyumba unaofaywa na NHC
katika eneo la Kawe
Mkurugenzi
wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu akifafanua jambo kwa
Wajumbe wa Kamati ya PIC wakati wakikagua ujenzi wa Nyumba katika eneo
hilo la Kawe.
(Picha na Ofisi ya Bunge)
Tags
Bunge