Mbunge
wa Jimbo la Tanga(CUF) Mussa Mbaruku kulia akimkabidhi baikeli mkazi wa
Mtaa wa Tongoni Jijini Tanga,Mwinchumu Ally jana ambaye anamatatizo ya
ulemavu wa miguu kwa ajili ya kutembelea ikiwa ni kutimiza ahada
aliyomuahaidi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu
mwaka juzi,
mwaka juzi,
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha.
Tags
MSAADA