 |
| Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (kulia)
akiagana na Meya wa Manispaa ya Mjini Zanzibar Mhe. Abdalla Mwinyi
Khamis mara baada ya kumalikiza kwa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53
ya
Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar |
 |
Spika wa Bunge la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (kulia) akisalimiana na Mkuu wa
Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud mara baada ya
kuwasili katika Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Mapinduzi ya
Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar. |

Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (mwenye
suti nyeusi katika) akipiga picha ya pamoja na ugeni kutoka korea ya
kusini mara baada ya maongezi mafupi yaliyoambatana na chakula cha
mchana katika hotel ya serena, Baada ya kutoka katika Maadhimisho ya
Sherehe za Miaka 53 ya
Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)