BANDA MEDIA BLOG

SPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AHUDHURIA KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MASWALA YA UKIMWI MJINI DODOMA






Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akifafanua jambo mbele ya kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi katika Kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.

Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Faustine Ndugulile akifafanua jambo katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi Mhe. Dkt.Faustine Ndugulile (Katikati) akifafanua jambo mbele ya kamati hiyo (Kushoto kwake) ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai na (kulia kwake) ni Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Bungeni Ndg. Mohammed Mwanga katika kikao kilichofanyika leo Mjini Dodoma.



Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG