BANDA MEDIA BLOG

TAGCO WATEKELEZA AGIZO LA MHE. MAKAMU WA RAIS LA KUFANYA MAZOEZI


FIS1
Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO), Viongozi wa Taasisi mbalimbali, Wahariri wa Vyombo vya Habari, Madaktari, Waandishi wa Habari pamoja na Wapiga picha wakifanya mazoezi ya viungo ikiwa ni sehemu ya kulinda miili yao dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na utekelezaji wa agizo la Mhe. Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan alilolitoa 17 Desemba, 2016 ambalo linawataka Watumishi wa Uma kazini kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi. Mazoezi hayo yamefanyika 18/02/2017 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-WHUSM.
FIS3
FIS4 FIS5

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG