BANDA MEDIA BLOG

WADAU WA AFYA YA UZAZI WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM KUJADILI VIFO VYA UZAZI WA MAMA NA MTOTO.


1
2
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania ( TAWLA ), Athanasia  Soka akifungua mkutano   wa wadau wa sekta ya afya ya uzazi leo jijini Dar es Salaam kujadili maswala mbalimbali kuhusiana haki za Wanawake katika vifo vinavyotokana na afya ya uzazi kwa Wakina Mama na Watoto wanapo jifungua.
3
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Afya na Tiba Hurbert Kairuki ( HKMU ), Dk. Pensiens Mapunda akielezea vifo vanavyotokana na uzazi wakati wa   mkutano   wa wadau wa sekta ya afya ya uzazi leo jijini Dar es Salaam wakujadili maswala mbalimbali kuhusiana haki za Wanawake katika vinavyotokana na afya ya uzazi kwa Wakina Mama na Watoto.uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.


4
5
Mwezeshaji wa mkutano huo, Bi Kavinya Makau akielezea mada mbalimbali wakati wa mkutano   wa wadau wa sekta ya afya ya uzazi leo jijini Dar es Salaam wa kujadili maswala mbalimbali kuhusiana haki za Wanawake katika vinavyotokana na afya ya uzazi  leo jijini Dar es Salaam.
Image00002 Image00003
 Wakili wa Serikali Mkuu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Charles Mmbando akielezea kisheria ya  haki ya Afya ya uzazi wa mkutano   wa wadau wa sekta ya afya ya uzazi leo jijini Dar es Salaam wakujadili maswala mbalimbali kuhusiana haki za Wanawake katika vinavyotokana na afya ya uzazi kwa Mama na mtoto uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Image00004
Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akichangia mada yake.
Image00005
Mkurugenzi Mtendaji wa Chama Cha wanasheria wanawake ( TAWLA ), Bi Tike Mwambipile akifafanua jambo wakati wa mkutano   wa wadau wa sekta ya afya ya uzazi leo jijini Dar es Salaam wa kujadili maswala mbalimbali kuhusiana haki za Wanawake katika vinavyotokana na afya ya uzazi  leo jijini Dar es Salaam.
6
7
Image00001
Washiriki wa mkutano  wakifuatilia mada mbalimbali wa kati wa mkutano huo.
  8
Wakwanza kushoto, Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania ( TAWLA ), Athanasia  Soka ( kulia kwake) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama Cha wanasheria wanawake TAWLA Bi Tike Mwambipile pamoja na wadau wa sekta ya afya wakiwa katika mkutano huo.
10
Wakili wa Serikali Mkuu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Charles Mmbando (kushoto) wakishauriana jambo wakati wa mkutano huo leo.
11
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania ( TAWLA ), Athanasia  Soka (wanne katikati) akiwa katika picha ya pamoja na  wadau wa afya
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG