
Mrembo Wema Sepetu Ameamua Kukikimbia Chama cha CCM baada ya Mh Paul
Makonda Kumjumuisha katika watu wanaohusika na Madawa ya Kulevya na
kufikishwa mahakani..
Picha kadhaa zimewekwa mtandaoni zikionyesha Wema Sepetu akiwa na Viongozi wa Chadema Akiwepo Muheshimiwa Mbowe....
Nini Maoni yako?