BANDA MEDIA BLOG

WEMA Sepetu Afanya Uamuzi Mgumu...Aamua Kuikimbia CCM na Kujiunga Chadema..



Mrembo Wema Sepetu Ameamua Kukikimbia Chama cha CCM baada ya Mh Paul Makonda Kumjumuisha katika watu wanaohusika na Madawa ya Kulevya na kufikishwa mahakani..

Picha kadhaa zimewekwa mtandaoni zikionyesha Wema Sepetu akiwa na Viongozi wa Chadema Akiwepo Muheshimiwa Mbowe....

Nini Maoni yako?

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG