BANDA MEDIA BLOG

Washindi wawili wa kampeni ya Akaunti ya Malengo ya NBC wajishindia Toyota Hilux double cabin mpya.


NB1
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi  (katikati), akizungumza wakati wa droo kubwa ya Kampeni ya akaunti ya  Malengo ya benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha na mkazi  wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 katika kampeni hiyo iliyochukua muda wa miezi mitatu.  Kushoto ni Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea Mabonye na Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo.
NB2
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi  (katikati), akizungumza wakati wa droo kubwa ya Kampeni ya akaunti ya  Malengo ya benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha na mkazi  wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 katika kampeni hiyo iliyochukua muda wa miezi mitatu.  Kushoto ni Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea Mabonye na Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo.

NB3
Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo (kulia), akizungumza kwa simu na mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo katika droo iliyofanyika  jijini Dar es Salaam jana.   Mkazi wa Dar es Salaam Aldo Aidan Nsuha na mkazi  wa Mtwara, Lawrence Cletus Njozi walijishindia kila mmoja Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka 2016 katika kampeni hiyo iliyochukua muda wa miezi mitatu. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Filbert Mponzi,  Meneja wa Bidhaa za Kuwekeza Dorothea Mabonye na aliyesimama ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha (GBT), Bakari Maggid.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG