BANDA MEDIA BLOG

YANGA YATOKA SARE YA 1-1 VS NGAYA CLUB LEO KWENYE UWANJA WA TAIFA


Yanga-na-Ngaya-7
Timu ya Dar es Salaam Young Africans imecheza mchezo wake wa marudiano wa Club Bingwa Afrika dhidi ya N’gaya Club, baada ya mchezo wa kwanza uliyochezwa Comoro kumalizika kwa Yanga kupata ushindi wa 5-1,

YANGA imefanikiwa kusonga mbele katika Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika licha ya kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya Ngaya Club ya Comoro kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo Jumamosi Fubruari 18, 2017.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG