BANDA MEDIA BLOG

Kazi Imeanza..Ridhiwani Kikwete Ahojiwa na Tume Dawa za Kulevya, Asema Haya...!!!


Mbunge wa Chalinze jana alihojiwa na tume ya kupambana na kudhibiti madawa ya kulevya. Alipoulizwa kuhusu kuitwa huko, mwenyekiti wa tume hiyo, jaji Siang'a amesema kila aliyetajwa kwenye orodha ya wanaohusika ataitwa. Naye Ridhwani amesena maelezo aliyopewa yamemsuuza moyo.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG