Siku moja baada ya mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA kuwakaribisha kwenye
chama chake kipya waliofukuzwa CCM kwenye mkutano maalum, aliyekuwa
mwenyekiti wa UWT, Sophia Simba
amesema amukua kwenye chama hicho kwa
miaka 46 na hataenda chama kingine bali atabaki kuwa mkereketwa
mwaminifu wa chama cha mapinduzi