BANDA MEDIA BLOG

CHELSEA YAPUNGUZWA KASI MBIO ZA UBINGWA,YAKUBALI KICHAPO


ccc
Vinara wa Ligi Kuu nchini Uingereza timu ya Chelsea imepunguzwa kasi katika kuwania ubingwa baada ya kukubali kichapo cha magoli 2-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye uwanja wao wa nyumbani.

Chelsea walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa kiungo mshambuliaji Ces Fabregas  dakiak ya 5 akipokea pasi nzuri toka kwa Harzad hadi hivyo Palace waliweza kusawazisha kupitia Wilfred Zaha dakika ya 9.
Christian Benteke alishindilia msuli wa pili dakika ya 11 na kuweza kuwalaza mapema vijana wa Conte hadi Mpira unamalizika Chelsea wamelala 2-1 na kupunguzwa kwa alama 7 na Tottenham ambao wameshinda na kuweza kufikisha alama 62 huku Chelsea akibaki na Alama 69.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG