BANDA MEDIA BLOG

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Selemani Jaffo azindua Copa Ummiseta Dodoma

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi  Selemani Jaffo akifafanua jambo wakati alipokuwa akiongea na walimu, wanafunzi na wakazi wa mkoa wa Dodoma, wakati wa uzinduzi wa Copa Umiseta katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi  Selemani Jaffo akipiga mpira Golini wakati alipokuwa akizindua Copa Ummiseta katika uwanja wa jamhuri mjini Dodoma


Moja ya timu ya wasichana wa shule za sekondari mjini Dodoma ikisubili kukaguliwa  kabla ya uzinduzi wa Copa Ummiseta yanayodhaminiwa na Kinywa laini cha Coca cola  [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi  Selemani Jaffo akimkabidhi mmoja wa wanafunzi wa shule ya sekondari vifaa vya michezo vitakavyotumika katika mashindano Copa Ummiseta yaliyozinduliwa katika uwanja wa jamhuri mjini Dodoma, kushoto ni Afsa Masoko Msaidizi wa kampuni ya Coca cola Pamella Lugenge



Add caption







Afsa masoko msaidizi wa kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola  Pamelaa Lugenge akizungumza kwenye uzinduzi huo

Mkurugenzi wa Elimu Ofisi ya Rais Tamisemi Juma kaponda akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi huo


Badhi ya walimu wa shule mbalimbali za sekondari wakiwa uwanjani hapo wakati wa uzinduzi huo


Jaffo akitoa wosia kwa wachezaji wa Timu za kanda ya kwanza na ya Nne kabla ya kuanza mpambano baada ya uzinduzi

picha ya Pamoja


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG