| Wanafunzi wa chuo hicho wakifuatilia maelezo mablimbali yaliyokuwa yakitolewa na Wabunge hao |
| Wanafunzi wa chuo hicho wakia maoni na kuuliza mashwali kwa wabunge hao |
| Uhamasishaji unaendelea |
| Mhe. Mariyam Ussi Yahya akijibu moja ya swali la wanafunzi hao |
| Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Africa Mashariki Mbundi Stevin akijibu swali la wanafunzi hao lililoelekezwa kwake |
| Mhe. Shyrose Bhanji akijibu moja ya maswali hayo |
| Mhe. Twaha Issa Taslima akifanua jambo wakati akijibu maswali hayo |
| Mhe. Nderakindo Kessy akifafanua jambo wakati wabunge hao walikuwa wakijibu maswali ya wanafunzi hao wa chuo cha mipango |
| Mhe Mariyam na Shyrose wakifuatilia jambo |
| Makamu mkuu wa Chuo hicho Prof Mayaya akikabidhiwa mkataba wa africha mashariki na Charles Mkongoro Nyerere |
| chuo kikakabidhio zawadi ya saa kwa ugeni huo |
| Mhe Charles Makongoro Nyerere na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof Hoze Mayaya wakiwa katika picha ya pamoja na mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho aliye julikana kwa jina moja la Teddy |
| Picha ya Pamoja mbele ya ukumbi huo wa Mawlimu Nyerere |
Tags
EALA