Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt.
Leonard Akwilapo kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya elimu, Sayansi na
Teknolojia Ikulu jijini Dar es salaam leo April 5, 2017
-Rais akiweka sahihi hati ya kiapo
-Rais akimkabidhi nyezo za kazi
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha
Profesa Kitila Alexander Mkumbu kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Maji na
Umwagiliaji Ikulu jijini Dar es salaam leo April 5, 2017
-Rais akiweka sahihi hati ya kiapo
-Rais akimkabidhi nyezo za kazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Ave Maria Semakafu Naibu
Katibu Mkuu, Wizara ya elimu, Sayansi na Teknolojia Ikulu jijini Dar es
salaam leo April 5, 2017
-Rais akiweka sahihi hati ya kiapo
-Rais akimkabidhi nyezo za kazi
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Bw.
Sylvester Ambokile Mwakinyke kuwa Balozi wa Tanzania nchini Afrika
Kusini Ikulu jijini Dar es salaam leo April 5, 2017
-Rais akiweka sahihi hati ya kiapo
-Rais akimkabidhi nyezo za kazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Bw. Baraka Luvanda kuwa
Balozi wa Tanzania nchini India Ikulu jijini Dar es salaam leo April 5,
2017
-Rais akimkabidhi nyezo za kazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Bw. Charles Edward Kichere
kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Ikulu jijini Dar
es salaam leo April 5, 2017
-Rais akimkabidhi nyezo za kazi
Waapishwa wakila kiapo cha maadili ya viongozi wa Umma Ikulu jijini Dar es salaam leo April 5, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu
Hassan, katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi katika picha ya pamoja
na waapishwa Ikulu jijini Dar es salaam leo April 5, 2017
PICHA NA IKULU
Tags
RAIS MAGUFULI