![]() |
| Wafanyabiashara wa soko hilo wakiondoa baadhi ya masalia ya baada ya soko lao kuteketea kwa moto |
![]() |
| Mmoja wa mama lishe sokoni hapo akihamisha masalia ya mbao zilizokuwa za kibanda chake baada ya kuungua kwa moto [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG] |
![]() |
| Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi akizungumza jambo kwa wafanyabiashara wa soko la mwembe tayali lililoteketea kwa moto |
![]() |
| Mkuu Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mndeme akizzungumza na wafanyabiashara wa soko la Mwembe Tayali lililoteketea kwa moto usiku wa kuamkia jana |
![]() |
| Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Christina Mndeme akiangali jinsi soko la Mwembe Tayali lilivyoteketea kwa moto |
Tags
MOTO












