Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama
Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi
zake zilizopo Moroco Kinondoni jijini Dar es salaam ,wakati
alipotangaza mgeni rasmi wa Tamasha la Pasaka mkoani Dodoma ambaye
atakuwa ni Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde na mbunge wa jimbo la Dodoma mjini.
Msama ameongeza kuwa katika
tamasha hilolitakalofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri siku ya Jumatatu ya
Pasaka liratumbuizwa pia na waimbaji kutoka nje ya nchi na kuhudhuriwa
na baadhi ya wabunge wa bunge la Jamhuri wa Muungano ya Tanzania
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama
Promotion Bw. Alex Msama akisikiliza baadhi ya maswali kutoka kwa
waandishi wa habari wakati alipozungumza nao jana.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama
Promotion Bw. Alex Msama akisisitiza jambo wakati akizungumza na
waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam.
Tags
PASAKA