BANDA MEDIA BLOG

HIVI NDIVYO MAMA MLEZI WA RIAZ LYIMO ALIVYOFANIKISHA SHEREHE YA KUMPONGEZA MWANAE BAADA YA KUMUOA RADHIA LUWANGA, KATIKA UKUMBI WA CAVILAM MJINI DODOMA

Bi Radhia Luwanga akimlisha Mume wake Riaz Lyimo chakula akiashiria Upendo wakati wa usiku wa Riaz uliofanyika katika ukumbi wa Cavilam mjini Dodoma
Bi Salma Zuberi ambaye ni mama Mlezi wa Bwana harusi Riaz Lyimo akiingia ukumbini hapo

Maharusi wakiingia ukumbini kwa madaha huku wakisindikizwa na muziki laini [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]


Maharusi wakilishana Keki


Mtunza Hazina wa Kamati ya Sherehe hiyo Clara Mcha akisoma stakabadh ya kabati ambalo lilitolewa na kamati kama zawadi ya maharusi ukumbini hapo 
Bwana na Bibi Harusi wakaiwakabidhi Keki kwa ajili ya Chakula cha walikwa waliokuwa wanakati Mama Dagashi na Manlizer
Wageni waalikwa wakiwa ukumbini hapo

Mama mlezi akilia kwa Furaha pamoja na Bwana harusi mara baada ya Maharusi hao kumpatia Zawadi
Chakula

Waalikwa chakulani

Tusane wa Muungano akiangalia Kidali cha Kuku kabla ya kukila

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG