BANDA MEDIA BLOG

NAPE: Wabunge Waache Kuisifia na Kuipigia Makofi Serikali Sio Kazi Yao..!!


Nape alikuwa akijibu maswali mbalimbali aliyokuwa akiulizwa na mojawapo kuhusu bunge amesema bunge mkutano wa wananchi, wabunge wapo pale kwa niaba ya watanzania majimboni na kazi yao ni kuisimamia na kuishauri serikali na sio kuipigia makofi na kuipongeza kila kitu na wakifanya hivyo basi tutapiga hatua
Amesma pia vyombo vya dola visitumie mabavu kwani hii italeta chuki kwa vyombo hivyo na kwa rais na kusema Tanzania hatujazoea mabavu akatolea mfano wa tukio la Malima na kusema yeye alikua akiulizia tu ajabu polisi akamtishia vile
Pia amesema sasa yupo huru zaidi baada ya kuacha uwaziri na anafurahia maisha

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG