
Mzee Francis Maige maarufu Ngosha, aliyechora nembo ya Taifa
amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH) akitokea Amana alikokuwa
amelazwa.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangalla amemtembelea leo asubuhi kumjulia hali.