BANDA MEDIA BLOG

STEVE Nyerere - Ukaguzi wa Vyeti Feki Upite na Bongo Movie..!!!


Muigizaji Steve Nyerere ameeleza kuwa, iwapo zoezi la ukaguzi wa vyeti feki lingegusa tasania ya uigiza yeye angecheka sana.
Kupitia mtandao wa instagram, ameandika ujumbe huu, “Sidhani kama hili zoezi la vyeti feki limeisha, lingekuja mpaka huku kwetu ningecheka sana, maana huku kuna makundi 2 wasaniii feki (2) na vilaza wasio jitambua hawa wote ni mzigo kwa TAIFA,”

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG