HomeAjali UPDATES:Ajali Lusanga Muhez: Watu 4 Wafariki Dunia, 15 Wajeruhiwa byJohn Banda -Monday, May 08, 2017 0 Watu 4 wamefariki na 15 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugonga lori katika Kijiji cha Lusanga Muheza. Majeruhi wapo Hospitali Teule ya Muheza. Tags Ajali Facebook Twitter