Kipima Joto..Je, Rais Kuteua Wapinzani ni CCM Mpya au Ndio Kubadili Gia Angani..!!!?
byJohn Banda-
0
Wakuu,kulingangana nateuzi zilizofatana hivi karibuni,Mh.Rais amekuwa
akiteua watendaji wake kutoka upinzani ama kwa watu,ambao tunafahamu sio
vindakindaki wa ccm.je ndo ccm mpya ama ni kubadili gia angani,kama
wazee wa ufipa?