
Wakati akiwa madarakani alipotembelea mojawapo ya mgodi wa Barick gold
mine alipewa kinyago cha dhahabu. Ni kipi kiliwafanya Barick kumpa
zawadi ile ya kinyago cha dhahabu Mkuu? Je Mkulu aliwafanyia nini hawa
jamaa mpaka wakampa zawadi ya thamani kiasi hicho?
Tuache siasa tuongee ukweli tupu.
Chanzo JF
Tags
Benjamin Mkapa