BANDA MEDIA BLOG

Jina la Rais Magufuli Latawala Kila Mahali Uchaguzi Mkuu wa Kenya. Tanzania Tunapata Ujumbe Gani?


Kila mgombea huko Kenya anaposimama na kumwaga Sera zake na jinsi atakavyo wahudumia wakenya atakapochaguliwa baada ya uchaguzi ni lazima ajifananishe na Rais wa Tanzania Dr Magufuli Katika suala nzima la uwajibikaji bila kumuogopa yoyote.

Kila mikutano ya hadhara jina la Dr Magufuli limekuwa likitumika Katika kijinadi kwa wagombea.

Hii inatoa ishara gani kwa nchi za Africa Mashariki?

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG