BANDA MEDIA BLOG

KITUO CHA UTAFITI NA MATUMIZI YA HALI YA HEWA [CWCAR] CHATOA MATOKEO YA MABADALIKO YA HALI YA HEWA KWENYE MABADILIKO YA KILOMO MJINI DODOMA



Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mndeme akizungumza Jambo wakati alipokuwa akifungua warsha ya matokeo ya Utafiti wa Mabadiliko ya Hali ya Hewa Kwenye Mipango ya Kilimo yaliyotolewa na kituo cha Utafiti na Matumizi ya Hali ya Hewa [CWCAR] uliohusisha Maafsa Ugani, Kilimo, Mifugo na Uvuvi katika ukumbi wa manispaa ya Dodoma Waliokaa Kushoto ni Mkurugenzi wa Miundombinu na Huduma za Uvumi wa kituo hicho cha utafiti Dr. Pascal Waniha na Kulia ni Meya Wwa Manispaa Hiyo Devis Mwamfupe

Mkurugenzi wa Miundombinu na Huduma za Uvumi wa Kituo Cha Utafiti cha  Hali ya Hewa Dr. Pascal Waniha akifafanua Jambo wakati alipokuwa akizungumzia Taarifa za Mabadiliko ya Hali ya Hewa kwenye Mipango ya Kilimo kwenye warsha ya usambazaji wa matokeo ya Utafiti uliofanywa na mamlaka hiyo katika kata ya Hombolo iliyofanyika katika ukumbi wa manispaa ya Dodoma, Walioka ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mndeme na Meya wa Manispaa Hiyo Devis Mwamfupe

Meya wa Manispaa ya Dodoma Devis Mwamfupe akizungumza jambo kwenye Warsha hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Manispaa ya Dodoma [PICHA ZOTE NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]

Afsa Mzao wa Manispaa ya Dodoma Offu Mwakaja akizugumza jambo wakati alipokuwa akitoa shukurani kwa mgeni rasmi mara baada ya ufunguzi wa warsha hiyo

PICHA YA PAMOJA

Warsha Ikiendelea


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG