BANDA MEDIA BLOG

ONA MATUKIO YA TAFRIJA YA KUWAPONGEZA [RECEPTION] KASSAM NA HERI NCHASI ILIVYOFANA KATIKA UKUMBI WA L.A.P.F DODOMA JULY 21,2017

Nadia Raymond Mara Baada ya Kupambwa Salon

Shamsa Mohamed Sulu katika Pozi la Picha kabla ya kwenda Ukumbini

Nadia na Shamsa Baada ya Kupambwa

Kassim na Heri Nchasi  Kabla ya Ukumbini [PICHA ZOTE NA JOHN BANDA MMILIKI WA BLOG HII]

Shamsa na Nadia Kabla ya Ukumbini

Kassim Nchasi Na Mkewe Shamsa Mohamed Sulu Kwenye Pozi la Picha

Kassim Nchasi Na Mkewe Shamsa Mohamed Sulu Kwenye Pozi la Picha

Heri Nchasi Akimlisha Chakula Mke wake Nadia Raymond  wakati wa Tafrija  ya kuwapongeza iliyofanyika katika Ukumbi wa L.A.P.F Dodoma

Kassim Nchasi Akimlisha Mke wake Chakula kwenye Tafrija ya kuwapongeza iliyofanyika July 21,2017 katika Ukumbi wa L.A.P.F Dodoma

Maharusi Wakikata Kike Kwenye Tafrija hiyo

Wazazi wakicheza Ngoma ya Kabala la Kilangi

Maharusi wakijiandaa kufungua mziki

Maharusi pamoja na wageni waalikwa wakicheza mziki Laini ukumbini hapo

Baadae Shampen Ikafunguliwa na Maharusi  Kutosi na Mc Mwangata aliyeiongoza Tafrija hiyo

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG