Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.
George Simbachawene
amevunja bodi ya soko la Kariakoo kwa sababu ya bodi hiyo kushindwa
majukumu yake ya kumshauri Waziri wa TAMISEMI juu ya Uwendeshaji wa soko
hilo kubwa Tanzania. Waziri amesema kuwa utaratibu wa kuundwa wa bodi
mpya utafanywa hivi karibuni.