BANDA MEDIA BLOG

HIVI NDIVYO MAHARUSI ALLY BAKARI KIBOKO NA HAFSA ALLY MOHAMED WALIVYOPONGEZWA KATIKA UKUMBI WA KILIMA DODOMA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA


Maharusi Ally Bakari Kiboko na Mkewe Hafsa Ally Mohamed wakiingia katika ukumbi wa Kilimani kwa ajili ya Tafrija ya Kupongezwa kwa maharusi hao
Hapa wakifurahia jambo wakati matukio yakiendelea kwenye tafrija hiyo
Wazazi wa Maharusi wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wao wakati wa tafrija ya kuwapongeza
Ally Bakari Kiboko Akimlisha Mkewe Hafsa Ally Mohamed Kike kwa staili ya aina yake wakati wa Tafrija ya kupewa pongezi katika ukumbi wa Kilimani Dodoma [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]


Wageni Waalikwa




 










Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG