RAIS John Magufuli ameziagiza wizara za Fedha na Mipango na Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi kuandaa mapendekezo na kupeleka
bungeni mwaka huu marekebisho ya sheria yanayotaka kulipwa kwa Kodi ya
Ongezeko la Thamani (VAT) kwa miradi inayopata ufadhili kutoka kwa wadau
wa maendeleo ikiwemo Benki ya Dunia.
Ametoa agizo hilo wakati akihutubia wananchi wa Korogwe waliohudhuria
ufunguzi wa stendi mpya ya kisasa ya mabasi iliyogharibu Sh bilioni...
Tags
RAIS MAGUFULI